MFANYAKAZI HODARI 2025 Comments: 1

image

Author names: Vivian Iromba saved date: 2025-06-05 at 14:05

Kwa mara nyingine tena Hospitali ya Nyakahanga imepata mfanyakazi hodari Bw Sylidion P. Karugaba ambaye amewakilisha Hospitali kwenye sherehe za Mei Mosi zilizofanyika Ki mkoa kule wilayani Ngara. Bw Sylidion amepenyeza kwenye mchuano mkali ambapo kila Idara ilipendekeza jina la mfanyakazi bora na kuwasilisha jina hilo kwenye Uongozi wa Hospitali ambapo walipiga kura na kumpata mfanyakazi Hodari wa mwaka 2025.

Adding form af a comment
Cancel

Lasts news/event

SHEREHE ZA MEI MOSI

Bw Sylidion P. Karugaba akipokea cheti cha Mfanyakazi Hodari katika viwanja vya Posta Ngar...

MFANYAKAZI HODARI 2025

Kwa mara nyingine tena Hospitali ya Nyakahanga imepata mfanyakazi hodari Bw Sylidion P. Ka...

See all news / events

Contact info

DOCTOR IN CHARGE
NYAKAHANGA DESIGNATED DISTRICT HOSPITAL
PO BOX 110, KARAGWE VIA BUKOBA, KAGERA

Phone +255 767 084 362/ +255 787 663 565 (Medical officier Incharge)
+255 756 069 466/ +255 622 736 736 (Hospital Secretary)